• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UWEKEZAJI WA ZAIDI YA BILLIONI 260 KUFANYIKA UBUNGO

Posted on: September 18th, 2021

Waziri wa Biashara na Viwanda Mhe.Kitila Mkumbo ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ubungo   tarehe 18/9/2021 amepokea taarifa ya mradi wa ujenzi wa Kituo Cha Biashara na Vifaa vya Afrika Mashariki ambao kampuni ya shangai  linghang Group itaufanya katika eneo la Ubungo ambapo  stendi ya zamani ya mabasi ilikuwepo

Akisoma  taarifa ya mradi  mbele ya viongozi wa mbalimbali wa serikali  Director wa Kampuni shangai Linghang Cath Wang alisema kuwa kampuni hiyo ya kichina   inategemea kufungua Kituo Cha Biashara na Vifaa vya Afrika Mashariki ambacho kitatoa huduma  kwa watanzania wote na kutengeneza fursa mbalimbali kwa watanzania

Aliendelea kwa kusema  kuwa ujenzi wa  mradi huo utakamilika kwa muda wa miezi 15 na Utakuwa na gharama zaidi ya  billioni 260 za kitanzania na utakapomalizika unaweza  kutengeneza fursa ya ajira kwa takribani watu elfu 20 pia  kusaidia halmashauri kuweza kukusanya  mapato na kuwa kivutio katika Wilaya  ya Ubungo kwa ukubwa na ubora wake

Aidha kitila amesema kuwa ni mradi ambao utakuwa na tija na manufaa kwa watu wa Ubungo na watanzania kwa ujumla kwa kuweza kurahisisha upatikanaji wa huduma hata kuleta manufaa kwa serikali na hasa katika ukusanyaji wa mapato ambao halmashauri itaenda kunufaika

Aliendelea kwa  kuwapongeza na kuwaasa kampuni hiyo kuzingatia vigezo ambavyo viongozi mbalimbali  waliweza kuvisema ili kuleta maboresho katika taarifa yao waliyoisoma ikiwemo uzingatiaji wa vigezo vilivyotolewa

Aidha mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo Beatrice Dominic  ameishuru kwa kampuni hiyo ambayo inaenda kutengeneza fursa kwa Wana Ubungo na pia Manispaa kuongeza mapato yake kupitia mradi huo


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa