• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

UZINDUZI WA GULIO KATIKA SOKO LA SIMU2000

Posted on: January 8th, 2021

Katika kuhakiksha masoko yanaleta tija kwa serikali na wafanyabiashara kama chanzo cha mapato, soko la SIMU2000 lililopo kata ya sinza Manispaa  ya Ubungo limeanzisha programu ya gulio kila Siku ya ijumaa ya wiki lengo ikiwa ni kulitangaza soko hilo na hatimaye kupata wafanyabiashara wapya katika soko hilo.

Uzinduzi huo kufanyika leo januari 8,2020 ambapo wafanyabiashara na wanujuzi kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar Es salaam wamepata fursa ya kuuza na kununua bidhaa Mbalimbali katika gulio hilo.

Akizungumza na wanunuzi na wafanyabiashara  wasiofika katika soko hilo, Afisa Biashara wa Manispaa ya Ubungo Prisca Mjema amewapongeza kwa mwitikio mkubwa walioonesha  ikiwa ni Siku ya kwanza ya kuanza gulio hilo.

"Nawapongeza sana kwa mwitikio huu , imeonesha uthubutu wenu katika kufanya biashara na imenitia nguvu sana mimi kama msimamizi wa masoko na biashara zingine kuona huu ulikuwa ni uhitaji mhimu kwa wafanyabiashara, hivyo tunaahidi kuendeleza Gulio hili" alisema Mjema

Mjema amefafanua  kuwa soko la SIMU2000 ni soko ambalo lipo sehemu nzuri linafikika kiurahisi hivyo wafanyabiashara tukiungana pamoja tunaweza kulifanya soko hili kuwa na gulio kubwa la mfano kwa jiji la Dar Es salaam

Muonekano wa Gulio katika Soko la SIMU2000  lililozinduliwa leo 

"Tuendelee kuwatangazia wafanyabiashara wengine wa maeneo tofauti waje kufanya biashara katika soko letu, hii atafanya wateja wengi kuja kununua bidhaa Mbalimbali katika soko hili hatua hiyo itapelekea kutafsiri kwa vitendo dhana ya uwepo wa masoko na ukuzaji uchumi "

Kwa upande wake Unick Mrango ambaye ni mfanyabiashara katika soko hilo kwa zaidi ya miaka mitano  ameshukuru Manispaa ya ubungo na uongozi wa soko kubuni mbinu ya kuwa na Gulio kwenye soko hilo kwani limefanya soko lichangamke na wafanyabiashara wameuza sana tofauti na siku za kawaida.

Kutokana na mwamko huo Unick ameshauri gulio hilo lifanyike kwa Siku mbali badala ya siku moja kwa wiki kwa sababu linakutanisha wafanyabiashara wenye bidhaa tofauti hali inayovutia wateja wengi kuja kununua lakini pia tutatangaza soko vizuri zaidi.

Aidha kupitia gulio hilo biashara ambazo zilikuwa hazionekani zimeweza kuonekana hata wateja wamegundua kuwa ndani ya soko kuna bidhaa kwani mwanzo wengi walikuwa hawajui kuwa ndani kuna soko kubwa anasema Unick.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa