• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAJUMBE WA MABARAZA YA KATA WAPIGWA MSASA NAMNA BORA YA KUENDESHA MABARAZA KATIKA KATA ZAO

Posted on: May 6th, 2021

Mafunzo hayo yametolewa  tarehe 6 mei 2021 katika ukumbi mikutano  wa Manispaa ya Ubungo  uliopo luguruni  yakiwa na lengo la kuwaelimisha wajumbe namna ya kuendesha mabaraza katika kata zao wakizingatia sheria na kanuni ambazo zitasaidia katika uendeshaji wa mashauri na utoaji wa hukumu

Wakati wa  mafunzo hayo Mwezeshaji Demetria Kabera ambaye pia ni mwanasheria wa Manispaa ya ubungo aliwasomea wajumbe  muundo ambao unastahili kutumika na akidi ya wajumbe kutimia kwa kuzingatia sheria namba 7 ya mwaka 1985 sura ya 206  inayotaka wajumbe wa baraza hilo wasipungue wa 4 na wasiozidi 8 ili kutekeleza shughuli za baraza kwa ufanisi

Aliendelea kwa kusema kuwa dhumuni la mabaraza hayo katika kila kata ni kuleta amani na usuluhisho wa matatizo  kwa wanachi ambao mnawahudumia.

Nae mwezeshaji kutoka ofisi ya mwekahazina  wa Manispaa ya ubungo  Esau Hosiana aliwapiga msasa wajumbe katika swala zima la  tozo za ukusanya wa mapato ambazo mabaraza ya kata yanahusika ilikukusanya mapato ya serikali

Aliendelea kwa kusema kuwa  "ni vyema tozo ambazo zinatakiwa kukusanywa zijulikane na tozo hizo lazima ziwe katka muhtasari ambao utawaongoza wajumbe" alisisitiza MwekahazinaSambamba na hayo hakimu mfawidhi wa mahakama ya mwanzo  kimara Ndg. Furutuni Hamisi Aliwataka wajumbe kufuata taratibu na kuzingatia mashauri yenye haki kwa wananchi wao wanapotatua migogoro na bila kupendelea kwa kutoa haki kwa kila mtu

NB.mafunzo hayo yatafanyika siku mbili, leo jimbo la ubungo na kesho wajumbe wa jimbo la kibamba








Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa