• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WAMILIKI VITUO VYA KULELEA WATOTO (DAYCARE WAPEWA MAFUNZO YA LISHE

Posted on: October 21st, 2022


  • Mtoto anahitaji yai moja tu la kienyeji kwa wiki 
  • Mtu mzima anatakiwa kula mayai mawili kwa wiki
  • Japo ulaji wa mafuta kwa wingi haushauriwi, Ili viini lishe vilivyopo kwenye mbogambaoga na karoti viweze kufyonzwa mwilini ni lazima kupika na mafuta kiasi 
  • Mazoezi ni muhimu ili kuwa na afya bora
  • Mtoto wa chini ya mika mitano anahitaji kunywa maji lita 1 kila siku

Kutokana na kuwepo kwa mtindo usiofaa wa ulaji katika jamii, Wamiliki na wasimamizi wa vituo vya watoto walio chini ya miaka mitano (DAYCARE) katika Manispaa ya Ubungo jijini Dar Es salaam, wamepatiwa mafunzo ya umuhimu wa kuwapa lishe bora watoto wanapokuwa katika vituo pamoja na kuwafundisha ili wakue wakitambua umuhumu wa kula lishe bora tangu wakiwa wadogo.

 

Mafunzo hayo yametolewa leo Oktoba 23, 2022 na Afisa lishe wa Manispaa ya Ubungo ndugu Beatrice Mossile lengo ikiwa ni kuhakikisha wamiliki hao wanatambua mlo unaofaa kwa watoto wawapo vituoni hapo kwani ni hitaji la msingi kwa mtoto ili akue vizuri kiafya, kimwili na kiakili na hivyo kuondoa udumavu.

Mossile ameeleza kuwa, ulaji usiozingatia mlo kamili wenye makundi yote matano ya chakula yaani Protein, wanga, vitamin, madini  na nishati ni chanzo kikubwa cha ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza sio kwa watu wazima tu bali hata watoto, hivyo lazima watoto wapate elimu ya lishe bora tangu wakiwa wadogo kutoka kwa walimu.

“Watoto wanamwamini sana mwalimu kuliko hata mzazi hivyo tunaamini wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wadogo mkiwaelimisha lishe bora ni nini tutakuwa na jamii yenye afya njema, mfano watoto wengi hawapendi kula mboga za majani ambazo ni muhimu sana hivyo mtusaidie kuwaelekeza watoto” alisistiza Mossile

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa