• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATAALAM WA KILIMO UBUNGO WAPIGWA MSASA KUHUSU MASWALA YA USINDIKAJI , LISHE

Posted on: November 23rd, 2021

Maafisa Kilimo Manispaa ya Ubungo Leo tarehe 23.11.2021  wamepewa Elimu kuhusu maswala ya lishe na usindikaji wa vyakula mbalimbali ili kuwawezesha kuwa na uelewa mzuri wa kutoa elimu kwa wananchi

Akitoa mafunzo hayo Afisa  Kilimo katika maswala ya lishe Bi.Stela Nzelu ameeleza kuwa wataalam wa Kilimo wanawajibu kuelimisha wakulima na wasindikaji kuzingatia lishe kwenye vyakula

Ili kuwa na Jamii au Taifa lenye maendeleo ni muhimu Jamii kula vyakula vinavyozingatia makundi ya  lishe Bora ili kuipa miili Kinga na Tiba  dhidi ya magonjwa mbalimbali.Alieleza Stela

Aliendelea kufafanua rangi za Mazao na faida  Stela alisema  vyakula vyenye rangi ya Njano- vina wingi wa vitamini A, C na  viondoa sumu, Rangi ya kijani- Kama Kinga Tiba kwa inni( njegere, mbogamboga tango bamia,kabegi,)

Vyenye Rangi nyeupe- kama Kinga na Tiba kwa mapafu( vitamini C' K, viondoa sumu ) mahindi  vitungu,stafeli, Rangi nyeusi- Kinga na Tiba ya Figo,( bilinganya zambarau n.k na vyenye rangi nyekundu- Kama Kinga  na Tiba ya moyo kitunguu, pilipili,nyanya, tikiti, bitroot,

Pia alitoa msisitizo wa ulaji wa mboga za majani uanzie utotoni ili kuwajengea Kinga nzuri ya mwili ili kuepukana na magonjwa hatarishi Kama moyo,ini n.k

Aidha Afisa Kilimo,umwagiliaji na Ushirika Manispaa ya Ubungo Happiness Mbelle aliwasisitiza wataalam hao kuendelea kuelimisha umma kuhusu uhifadhi wa vyakula na kuongeza  uzalishaji wa mazao zaidi kwaajili ya kukabiliana na mabadiliko ya Hali ya hewa

Aliendelea kuwakumbusha Kutumia vyakula vyenye lishe Bora kwa Msingi wa kuongeza uzalishaji zaidi

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa