• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WATENDAJI KATA UBUNGO WASAINISHWA MIKATABA YA LISHE

Posted on: October 31st, 2022


Manispaa ya Ubungo kupitia Idara ya Afya kitengo cha Lishe imewapa mikataba watendaji wa Kata za Manispaa hiyo lengo ikiwa ni kuendelea kusimamia mikakati ya Serikali juu ya suala la lishe bora kwa raia wake.

Usainishwaji huo umefanyika Leo tarehe 31 Oktoba, 2022 ambapo Watendaji Kata hao wamesaini mikataba hiyo yao na Manispaa hiyo na kutakiwa kwenda kuifanyia kazi kama mikataba hiyo inavyojieleza.

Akiongea Bi. Beatrice Mossile Afisa lishe wa Manispaa hiyo wakati akisoma taarifa ya utekelezaji wa lishe kwa ngazi ya Halmashauri kwa robo ya kwanza 2022/2023 amesema  Kitengo cha lishe  kimefanikiwa kutoa elimu kwa Madiwani 19, walimu wakuu wa Shule za msingi na Sekondari, walimu wa day care na walimu wa afya na kutibu utapiamlo.

Na hivyo kupelekea kuwepo kwa Shule 192 zenye club za afya na lishe Sawa na 74.4% kati ya Shule 258, Shule 90 za msingi na Sekondari zinazotumia unga wa mahindi uliowekwa virutubisho na kuwepo kwa mashine 7 za kusaga lishe sawa na 70% kati ya 10 zinazohitajika.

Mossile ameendelea kueleza kuwa Manispaa hiyo kwa sasa imefanikiwa kupambana na tatizo la udumavu kutoka 8% hadi kufikia 1.1% na hivyo matarajio ya Manispaa kwa sasa ni kuhakikisha idara ya elimu msingi na sekondari wanashirikiana vizuri na Kamati za shule, wazazi au walezi ili kukubaliana namna ya kuwezesha wanafunzi kupata chakula mashuleni kama muongozo wa lishe unavyoeleza.

Kwa upande wake Mhe. Kheri James Mkuu wa Wilaya ya Ubungo amesema ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha mpango wa lishe unasimamiwa vizuri na ametoa pongezi kwa Manispaa kwa kufanikiwa kupanbana na udumavu kutoka 8% hadi kufikia 1.1% na amezipongeza kata zilizofanya vizuri na ametoa wito kwa Kata zingine kuiga mfano wa Kata hizo.

James amewataka watendaji hao kuhakikisha wanafanya vikao na watendaji wa mitaa na walimu wakuu wa shule za kwenye maeneo yao, Kamati za shule, wazazi au walezi ili kujua namna bora ya kuwezesha watoto kupata chakula mashuleni.

Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa