• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

WIZARA YA AFYA NA OR - TAMISEMI YAENDELEZA MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA UBUNGO

Posted on: March 30th, 2022


Leo Machi 30,2022 Wizara ya Afya na Ofisi ya Raisi - TAMISEMI wamefanya kikao kazi na timu ya kusimamia Mpango wa ugawaji wa vyandarua mashuleni (Schools Net Program - SNP) ya Manispaa ya Ubungo kwa  Shule za Msingi za Serikali na Binafsi za Manispaa ya hiyo lengo ikiwa ni kuendeleza mkakati wa kudhibiti kuenea Malaria Nchini.


Akiongea katika kikao hicho Mtaalamu kutoka Wizara ya Afya  Ndugu Peter Gitanya ameeleza kuwa Serikali imeweka mipango ya kudhibiti kuenea kwa Malaria kwa kuhakikisha wananchi wanapata vyandarua kwa 80% hadi kufikia 2030 na kupunguza malaria kwa 3.5% hadi kufikia 2025. 


Gitanya ameeleza kuwa zoezi hilo kwa sasa linatekelezwa kwa kugawa vyandarua katika Shule zote za Msingi za Serikali na Binafsi kwa wanafunzi wote waliosajiliwa na wasiosajiliwa na kwamba wakuu wa shule wanapaswa kumaliza kugawa vyandarua hivyo ndani ya siku 3 mara baada ya kuvipokea kutoka Bohari ya Dawa (MSD).


Aidha, Gitanya amewataka Wataalamu wa timu hiyo kuhakikisha Walimu Wakuu wanatuma taarifa sahihi za idadi ya wanafunzi wote waliopo katika shule zao pamoja na kuandaa taarifa sahihi wakati wa kupokea na kugawa vyandarua hivyo. 

 

Kwa upande wake Mtaalamu kutoka Ofisi ya Raisi - TAMISEMI Stella Kajange amewasisitiza Wataalamu ngazi ya Manispaa kusimamia vizuri zoezi kwa kutumia fedha vizuri, kufanya ufuatiliaji wa karibu, kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa kutumia vyandarua na kufanya tathmini ni kwa kiasi gani vyandarua hivyo vimeenda kufanya kazi iliyokusudiwa ili kufikia lengo la Serikali la kudhibiti kuenea kwa Malaria.


Akiongea kwa niaba ya Timu ya Manispaa Lucy Shirima ameipongeza Serikali kwa mpango huo wa kudhibiti Malaria Nchini na kuahidi kuwa timu hiyo itatekeleza zoezi hilo ipasavyo ili kufanikisha zoezi hilo la kitaifa.


Manispaa ya Ubungo inajumla ya Shule za Msingi 187 ambapo Shule za Msingi za Serikali 66 na Shule za Msingi Binafsi 121 zenye Jumla ya Wanafunzi 142,458.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa