• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Ubungo Municipal Council
Ubungo Municipal Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Malengo na dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo umwagiliaji na ushirika
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Mipango miji na Ardhi
      • Elimu Msingi
      • Utumishi na Utawala
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maendeleo ya Jamii na Vijana
      • Maji na Usafishaji
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Mazingira na udhibiti wa taka ngumu
    • Vitengo
      • Kitengo cha Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA
        • Uhusiano
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Ufugaji
    • Kilimo
    • Masoko
    • Vituo vya Basi
    • Viwanda
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
      • Ushuru wa Huduma
      • Usajili wa Tax
      • Leseni za Biashara
      • Ushuru wa Hoteli
    • Ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
    • Ufugaji
      • UJUWA
  • Madiwani
    • Orodha za Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba za vikao vya kisheria
    • Ratiba ya Kumuona Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi endelevu
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
    • Ripoti
    • Sheria
    • Bronchures
    • Zabuni iliyotangazwa
    • Mpango Mkakati
    • Newsletter
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba

ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA NISHATI WILAYANI UBUNGO

Posted on: November 18th, 2019

Naibu waziri wa Nishati   Mhe. SUBIRA MGALU  ametembelea Wilaya ya Ubungo na kupokelewa na  Mkuu wa Wilaya ya Ubungo  Mhe.KISARE  MAKORI  na Mbunge wa Kibamba  Mhe.JOHN MNYIKA  pamoja na  Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ubungo ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Kilimo  Bi.HAPPINESS  MBELLE wakati wakitembelea miradi mbalimbali ya umeme iliyopo Wilayani Ubungo.  Katika ziara hiyo miradi iliyotembelewa ni mradi wa umeme wa  Kibesa uliopo kata ya Mbezi, mradi wa Derlini uliopo kata ya Kibamba, King'azi uliopo kata ya Kwembe, Msumi uliopo kata ya Mbezi. apata malalamiko ya wananchi wa kibamba  umeme umekua  ukikatika mara kwa mara ni agize TANESCO muhakikishe mnazingatia ilo sitaki kusikia tena malalamiko aya kwa watu wa Kibamba"* alisema Naibu Waziri Mpaka ifikapo disemba  kama mlivyonihakikishia muwe mumetimiza ahadi yenu, maeneo yote ya Kibesa na sehemu ambazo mmehaidi kutimiza kazi yenu iwe ipasavyo, mpaka krismas watu hawa wawe wamepatiwa umeme katika maeneo yao.

Naomba niagize  ifikapo muda mlioniahidi ntafika apa na dhumuni langu ni kukaa na watu hawa na kusherekea nao wakiwa wanatumia umeme katika nyumba zao, agizo la Mhe.Rais ni kuhakikisha Watanzania hawa wanaishi katika mazingira mazuri na umeme ni moja ya nishati inayotumika kwa kila mtu katika majumba yetu na kwa kuhakikisha ilo muweke umeme katika maeneo yote tuliyopita na mmehaidi mtawawekea umeme  mpaka ifikapo disemba, isiwe kinyume na ahadi mliyotoa. alisema Waziri wakati akitoa maagizo kwa wafanya kazi wa TANESCO.   Nina washa umeme apa leo naomba nisisikie kuwa umeme unakatikakatika iwe mfano alisema ayo  Mhe. Naibu Waziri *Wakati akitembelea eneo la Msumi B na kufanya uzinduzi wa nyumba ambayo imeingizwa umeme*  ni moja ya nyumba ya mwanachama wa saccos ndg. Shirima anayeishi eneo la Msumi B.

Nae Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe.Kisare Makori ameshukuru ujio wa Mhe.Naibu Waziri katika Wilaya Ubungo kwani umekuja kutatua changamoto wanazozipata watu  na kushukuru kwa *Mhe.Rais Dr.JOHN POMBE MAGUFULI* kwa uongozi wake wa awamu ya tano wenye kasi ya kufanya kazi na viongozi kujituma ipasavyo.


Taarifa

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI NAFASI YA DEREVA NA KATIBU MAHSUSI July 21, 2022
  • JOINING INSTRUCTIONS KWA SHULE ZA SEKONDARI ZA UBUNGO MANISPAA 2023. December 28, 2022
  • SELECTION ZA KIDATO CHA KWANZA UBUNGO MANISPAA 2023 December 28, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 02, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MAJALIWA AKAGUA MRADI WA KITUO CHA KIMATAIFA CHA KIBIASHARA MANISPAA YA UBUNGO

    April 20, 2023
  • WAZIRI KAIRUKI AWASILISHA BAJETI YA SHILINGI TRILIONI 9 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    April 14, 2023
  • DC KOMBA AFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO UBUNGO

    March 31, 2023
  • MADIWANI UBUNGO WAPITISHWA KWENYE MAELEZO YA MPANGO KABAMBE (MASTER PLAN) WA MKOA WA DAR ES SALAAM

    March 28, 2023
  • Tazama zote

Video

BILIONI 1.4 KUJENGA VETA MPYA KIBAMBA | DC KOMBA ATOA SIKU 10 HATI YA ENEO IPATIKANE
More Videos

Viunganishi vya haraka

  • Leseni za biashara
  • Ushuru wa Hoteli
  • Kibali cha ujenzi
  • Sheria ndogondogo
  • Malengo na Dira
  • Muundo wa Uongozi
  • zabuni

Viunganishi linganifu

  • The National Examinations Council of Tanzania
  • TAMISEMI
  • Ministry of Education
  • President office State House
  • National Council for Technical Education
  • Ministry of Finace and Planning

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya wanaoingia

writingMasterThesis

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Luguruni Area, Morogoro Road

    Sanduku la Posta: P. 0. BOX 55068 Dar es Salaam

    Telephone: +255 22 2926341

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: md@ubungomc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa