Mkuu wa wilaya ya Ubungo Mhe. Kheri James ameliagiza jeshi la polisi kuchukua hatua kali dhidi ya watu au kampuni zinafanya uharibu wa mazingira ikiwemo uchimbaji holela wa mchanga kwenye mito na mabonde mbalimbali ndani ya wilaya ya Ubungo.
Baraza la nidhamu Manispaa ya Ubungo, limewarudisha watumishi nane wa idara ya Maendeleo ya jamii ambao walisimamishwa kazi kutokana na tuhuma za kushiriki kwenye ununuzi wa gari bovu la kikundi ambacho kilipata mkopo wa asilimia 10 wa Halmashauri
HAKUNA MGOMO WA MABASI MAGUFULI
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo.Haki zote zimehifadhiwa